Wednesday, August 31, 2011

Ugonjwa wa Akili Huu? Uchafu, Kukosa Ustaarabu na Angamizo la Mazingira Yetu!

Hivi kuna nini Mzumbe? tatizo letu nini? ona sasa "upuuzi" wa namna hii msomi wa chuo kikuu Mzumbe anatupa takataka hovyo, ana tatizo la akili? natumia maneno makali ili iwe onyo, sisi tunasema HILI HALIKUBALIKI HATA KIDOGO.

No comments:

Post a Comment