Sunday, August 21, 2011

Mh Uswege Isaac; Mawaziri Wote Lazima Wahudhurie Kikao Leo!

Rais wa MUSO Mh Uswege Isaac amesisitiza kuwa ni lazima mawaziri wote wahudhurie cabinet meeting. Akizungumza na blog hii leo Mh Uswege amesisitiza kuwa kuhudhuria kikao ni lazima sio ombi.
 Tulipotaka kufahamu kwanini amekuwa kali hivyo? yeye alisisitiza tu kuwa "MAWAZIRI WOTE LAZIMA WAHUDHURIE KIKAO FULL STOP"

No comments:

Post a Comment