Monday, August 29, 2011

Faculty Of Science&Technology Waja na Mworabaini Wa Matatizo Yao!

Viongozi wa Faculty of Science and Technology
Members wote wa Faculty of Science and Technology wamefanya kikao kinacholenga kuibua changamoto zinazoikabili faculty hiyo na kuja na suluhisho.
Hayo yalisemwa katika kikao kilichofanyika LT2 ambacho kimekuja na maazimio kadhaa yanayolenga kuifanya faculty hiyo kuwa kitovu cha wanasayansi chuo kikuu Mzumbe na Taifa kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment