Thursday, August 25, 2011

Unawajua Maveteran wa Siasa za Mzumbe?

Mh Benson Futte waziri mkuu naye yupo kwenye list ya maveteran

Mkongwe Frank Mushi naye ni veteran pia
Vijana wa kazi hawa wabunge hai bungeni wana changamoto za kuitikisa serikali
Wengine hao ni maveteran pia ni wakongwe katika anga za Mzumbe University

No comments:

Post a Comment