Thursday, August 25, 2011

Wabunge walimchachafya spika akashindwa kunywa soda yake





Katika kile kinachoonekana kuzidiwa na rabrasha za wabunge inaelezwa kuwa spika alishindwa kunywa soda yake kama anavyoonekana pichani, mpaka BUNGE linaisha Mh huyo hakuweza kuinywa soda hiyo, na hata tulipombana atueleze sababu za kushindwa kunywa soda hiyo yeye aliishia kucheka hatua inayozidi kushawishi kuwa kuongoza bunge si lelemama

No comments:

Post a Comment