Friday, September 9, 2011

Mrembo Alipolizwa na Wauza Computer wa Karia Koo

Habari za kina zinadai kuna mrembo mmoja wa mwaka wa kwanza amelizwa na wauza compuer wa karia koo jijini Dar mtaa wa Tandamti ambao walitua Morogoro mjini kwa kazi zao za kuuza computer ndipo bibiye huyo "akajilengesha" kama wasemavyo watoto wa mjini.
Taarifa za kiuchunguzi zinamtaja jamaa huyo kwa jina la Eddo ambaye anadaiwa kumtelekeza binti huyo kwenye Taxi huku ikiwa na deni la shilingi elfu ishirini.

No comments:

Post a Comment