Tuesday, August 16, 2011

Kuelekea Bunge la Bajeti; Yuko Wapi Mh Futte?


kutoka kushoto ni waziri mkuu wa MUSO Mh Benson Futte
Zikiwa zimesalia siku kadhaa kabla ya kuitishwa kwa Bunge la Bajeti la serikali ya wanafunzi chuo kikuu Mzumbe tayari watu wameanza kuhoji alipo waziri mkuu Mh Benson Futte.
Hali hiyo inakuja kukiwa na hamu kubwa ya kuona wabunge wakichemshana kwa hoja katika week chache zijazo.

No comments:

Post a Comment