Friday, August 26, 2011

Ni Lini Viongozi wa MUSO wataona umuhimu wa Kuhamia Kwenye Ofisi Yenye Hadhi Yao

Pichani juu ni baadhi ya viongozi wa MUSO wakiwa na viongozi wa kitaifa(mawaziri wa serikali ya Tanzania) na picha chini ni ofisi ya MUSO(ambayo haina hadhi)
Kila mwenye kuitakia mema serikali ya wanafunzi chuo kikuu Mzumbe anajihoji ni lini serikali ya Mh Uswege itaona umuhimu wa kuhamia kwenye OFISI ZA MAANA?

No comments:

Post a Comment