Saturday, August 20, 2011

TAARIFA KWA UMMA; KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI


Taarifa kwa Viongozi wote wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe kuwa Kutakuwa na Cabinet Meeting siku ya kesho yaani jumapili tarehe 21 August 2011.

Ajenda za kikao hiko ni pamoja na ;
1. Opening Meeting
2.Speech from The President
3.Brief MUSO Budget
4.AOB
5.Closing The Meeting
TAARIFA ZAIDI ZITAENDELEA KUTOLEWA KUPITIA MBAO ZA MATANGAZO
Imetolewa na MUSO G.S

No comments:

Post a Comment