Monday, August 29, 2011

EDWIN SAMSON ;DEMOKRASIA YA UKWELI HURUHUSU UHURU WA MAWAZO


Binadamu wengi huzungumzia uhuru wa mawazo lakini hawajui kuwa hakuna uhuru kamwe hapa duniani,Tulipokuwa katika harakati zetu za kugombea Urais kuna watu walijifanya eti wao ndiyo wamezaliwa kuongoza  wanafunzi wenzao wa hapo chuoni,kuna kundi dogo la watu, nawaita kama watu wakupata ambao  hawajui mbele wala nyuma eti wakadai Edwin ni msaliti ni mtoto wa kihuni hawezi kutuongoza sisi wazeeee wa busara.......................Kuna watu wanadhani uongozi ni sehemu ya kujichotea asali na kusahau dhamana halisi walizonazo wanazotakiwa kuwajibika kwa wananchi.HUU NI UPUUZI ETI WATU WANATIMUANA TIMUANA KISA KAPOSHO.........tulihaidiwa bomba kutoa maziwa,viwanja kuwa kama oldtraford,kila mwanafunzi kuwa na laptop .... sisi wasaliti tulikuwa tunaangalia watu wakikushabikia kumbe ni ndoto za alinacha...nawaambieni kama kuna ufisadi wowote sasa hivi nitawapeleka  MAHAKAMANI, yule mshenzi MSTAAFU tulimuonea huruma ...........JAZENI MATUMBO LAKINI KUMBUKA  JELA YAJA

No comments:

Post a Comment