Monday, August 29, 2011

Chuo Chetu Kinajitosheleza; Mdau Atema Cheche!


futa havard of africa acha mzumbe yenyewe kama motto tafuta nyingine

jamani tuondoleeni hilo nine havard of africa katika jina la chuo chetu mzumbe tuliosoma hapo hatuwahi kuwa na mawazo ya kufananisha chuo chetu na kikingine kwani kinajitosheleza chenyewe na mambo yake,na kinatupa mkate na heshima kote ulimwenguni,sasa nyie vizazi vyipya mmekuja na yenu,msiongerze neno kwa mzumbe.kwanza neno havard mmekosea ni Harvard ,wakija jua mnatumia jina lao watakuja juu,hebu nenda kwa waalimu wa sheria hapo chuoni uliza nenda hata kwa mama opio ni mwanasheria mzuri tu.

No comments:

Post a Comment