Saturday, August 20, 2011

BREAKING NEEEWZ! WAZIRI MKUU AAMUA KUSAMBAZA PICHA BAADA YA WATU KUHOJI


Blog hii imefanikiwa kumhoji waziri mkuu wa MUSO Mh Benson Futte ambaye ametueleza bayana kushtushwa na watu kuhoji muonekano wake huku baadhi wakitaka kufahamu anafananaje? sasa Mh huyu ameamua kusambaza picha zake ili watu wamfahamu vizuri na kuacha kuhoji swali la anafananaje? ambalo amekiri swali hilo linamkera na kumkosesha raha.

No comments:

Post a Comment