Friday, August 26, 2011

Spika wa MUSO Mh Asifiwe Afunguka Rasmi na Kukiri Udhaifu Wa Bunge Analoliongoza, Adai halina Kanuni wa Ulinzi Kila dakika ni Mwongozo wa spika!

Spika wa bunge la wanafunzi chuo kikuu Mzumbe Mh Asifiwe Alinanuswe kwa mara ya kwanza tangu kuteuliwa kwake amejitokeza hadharani na kukiri kuwa Bunge la MUSO ni "zigo zito" kutokana na kuongozwa bila kanuni wala ulinzi hali inamfanya kusimamia kila kitu muda wote.
Alikuwa anazungumza na blog hii mapema leo asubuhi ambapo alitolea mfano tabia ya kelele za wabunge "mwongozo wa spika.....mwongozo wa spika" kelele ambazo amedai ni matokeo ya kukosekana kwa kanuni za bunge.

Hii inakuwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi mkubwa kwenye srikali ya MUSO kukiri hadharani udhaifu wa bunge la MUSO.

No comments:

Post a Comment