
Alikuwa anazungumza na blog hii mapema leo asubuhi ambapo alitolea mfano tabia ya kelele za wabunge "mwongozo wa spika.....mwongozo wa spika" kelele ambazo amedai ni matokeo ya kukosekana kwa kanuni za bunge.
Hii inakuwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi mkubwa kwenye srikali ya MUSO kukiri hadharani udhaifu wa bunge la MUSO.
No comments:
Post a Comment