Thursday, August 25, 2011

Wasemavyo Watani kuhusu Mh Uswge na Mawaziri Wake

Mhh! Mh Kamana unawaza nini? au swaumu kali mkuu..........


Ninyi mawziri wangu mimi nawasikiliza saaana jamani mnanifurahisha sana aisee ila ................!
Mh Uswege nasema hiviiiii...embu nisikilize kwanza............!



Tupo makini tunasikiliza tunafatilia ila aaah! hii stagered itatuua aisee...!

Hivi nyinyi mnavyoniona mkimya mnadhani sijui kubishana eenh! sasa ngojeni niwaoneshe...!

No comments:

Post a Comment