Mhh! Mh Kamana unawaza nini? au swaumu kali mkuu..........
Ninyi mawziri wangu mimi nawasikiliza saaana jamani mnanifurahisha sana aisee ila ................!
Mh Uswege nasema hiviiiii...embu nisikilize kwanza............!
Tupo makini tunasikiliza tunafatilia ila aaah! hii stagered itatuua aisee...!
Hivi nyinyi mnavyoniona mkimya mnadhani sijui kubishana eenh! sasa ngojeni niwaoneshe...!
No comments:
Post a Comment