
Huku Mh Uswege akibainisha msimamo wake, naye Bw Jacob Julius amejibu mapigo kupitia mtandao wa facebook huku akitumia jina la Meya Mzumbe katika page ya Mzumbe University, ujumbe huo unasomeka hivi..............
Tanzania inahitaji wapinga rushwa na wapinga matumizi mabaya ya fedha za umma,hao watu hawatashushwa kutoka hewani ni lazima watokee kwenye vyuo vikuu.Sifa ya kupinga matumizi mabaya ya fedha za umma siyo lazima uwe wa chama cha upinzani bali lazima uwe mzalendo.TAZAMENI BUNGE LA TANZANIA LA SASA...
No comments:
Post a Comment