Monday, August 29, 2011

Sakata la Workshop ya MUEDA larindima tena ngoma bado mbichi kabisa!

Baadhi ya wanafaculty wa science and technology
senetor wa science and technology Mh Abed Ngunike
Katika hali isiyo ya kawaida malalamiko kuhusu workshop iliyofanywa na MUEDA yameibuka tena leo. Hali hiyo imejitokeza wakati wa kikao cha wanafaculty wa Science and Technology usiku wa saa nne kwenye ukumbi wa LT2.
Blog hii ilifanikiwa kunasa baadhi ya malalamiko ya wachangiaji ambao walionyesha kukerwa na workshop hiyo waliyodai ipo chini ya kiwango.

No comments:

Post a Comment