Tuesday, August 16, 2011

Wanamzumbe Wajikumbusha Kampeni za Uswege

Katika hali isiyo ya kawaida kumeibuka minong'ono juu ya uongozi wa rais wa sasa wa MUSO Bw Uswege Isaac huku baadhi wakihoji juu ya utendaji wake. Utafiti ulioendeshwa na blog hii umebaini kuwa hasira zote hizo za baadhi ya wanamzumbe zinakuja huku kukiwa na madai ya fedha za kujikimu kutoka kwa baadhi ya wanafunzi ambao wanadai hawajapata fedha za kujikimu mpaka leo.
Baadhi yao wamesikika wakiongea kwa huzuni kubwa huku wakikumbushia kampeni za Mh Uswege

No comments:

Post a Comment