Thursday, August 25, 2011

Mwashibanda Eloish Mwashibanda na maamuzi magumu

Mh Mwashibanda ameonyesha msimamo wake mara kadhaa bungeni mara baada ya kunukuliwa akianika msimamo wake hadharani, mwone hapa kwenye picha alikuwa akichangia.

Spika wa bunge anawaapisha wabunge wapya mara baada ya Mh Mwashibanda kuchangia juu ya uhalali wa baadhi ya wabunge
Hapa Mwashibanda akanena "Jacob is the great person at Mzumbe lakini kama asipofukuzwa mpaka kesho saa nne mimi pia najiuzulu"
Spika akiendelea na shughuli za bungeni mara baada ya Mwashibanda kuchangia
Baadhi ya makatibu wakifurahia hoja za Mwashibanda ndani ya bunge

No comments:

Post a Comment