Sunday, August 21, 2011

Mawaziri Wa MUSO Waanza Kujipanga Upya

Wataalamu wa mambo ya utawala wanakubaliana kuwa sometimes kwenye maisha kuna ukweli mchungu lakini lazima usemwe tu, naam! huu ndiyo ukweli wenyewe kwamba kufuatia malalamiko yasiyokwisha ya wanafunzi sasa mawaziri wa MUSO wameanza kujipanga upya kuja na mikakati kadhaa, tumejulishwa kuwa tayari Cabinet inakutana leo usiku.

No comments:

Post a Comment