Tuesday, September 20, 2011

Je Wewe Ni Mbunifu Na Mchapa Kazi? Nafasi Yako Ni Hii;The U8:Connecting Students Around the World


http://www.hillcrestumc.org/wp-content/uploads/2010/06/people-holding-hands-sunset.jpg
Mdau habari!


Kwanza hongera sana kwa initiative ya blog kuhusu wanajamii wa Mzumbe hapo.

Kifupi naitaji msaada wako kuweza kupata mwanafuzi mmoja (hardworking) kutoka katika kila chuo hapa Tanzania,ili aweze kutusaidia kupata members wa kujiunga na ummoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu duniani (The U8) amabao makao yake makuu yako UK,ni nafasi nzuri sana ya wanafunzi kuweza kuconnect na vyuo mbalimbali duniani na kuhuzuli apia mikutano y akimataifa.
Naomba soma kiambatanisho hapo juu kwa maelezo zaidi kuhusu U8 na pia nijulishe utayali wako wa kushirikiana nami katika hili.
Regards,

ORESTES SOTTA
MANAGING DIRECTOR
SOTTA&PARTNERS CONSULTING LTD
P.O.BOX 494,MOROGORO,TANZANIA EAST AFRICA.
PHONE:+255 (0) 653 07 59 49
HEAD OFFICE LOCATION-RYMA RYM BUILDING NKOMO STRT.



1 comment: