Tuesday, September 20, 2011

Jacob Julius Jaju; Sitambui Kufukuzwa Kwangu, Najitambua Kama Waziri Halali, Nataka Posho Zangu!

 
Katika hali isiyo ya kawaida Bw Jacob Julius ameibuka na kudai kuwa hatambui kile kinachoitwa "KUTEMWA UWAZIRI WA ITIFAKI"
Akizungumza na Blog hii kwa njia ya simu huku akionyesha kujiamini Jacob amekaririwa akisema " sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa, hivyo najua mimi bado waziri wa MUSO na nitadai posho zangu"amekaririwa.
Matamshi haya ya Bw Jacob yanakuja week kadhaa baada ya Rais wa MUSO kutangaza kumtimua kazi rasmi kwa kkile kilichodaiwa kupingana na serikali yake anayotumikia.
Nao upande wa serikali ya MUSO kupitia kwa katibu wa wizara ya Itifaki Bw Raymond Kyara umesema kuwa ni kweli Bw Jacob alifutwa uwaziri lakini hata yeye amekiri kutofahamu iwapo Jacob alipewa barua au la.
Iwapo ni kweli anayodai Bw Jacob basi kuna hatari kubwa ya hatua hii ya kutopewa rasmi barua ya kufukuzwa ikakuza mjadala huo na kuleta utata mkubwa.
Aki

No comments:

Post a Comment