Sunday, November 20, 2011

Wabunge Wanavyoipa heko Mzumbe University

Na Mwandishi wetu Dodoma,
Blog hii imefanikiwa kutua mjini Dodoma na kufahamu mbivu na mbichi kuhusu waheshimiwa wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania "kuifagilia" Mzumbe University kwa kile kinachodaiwa mafanikio ya kitaaluma , amani na utulivu wa chuo hiki huku wakichagiza "kwanini vyuo vingine visiige kutoka Mzumbe?"
Kutokana na hali hii, wataalamu wa maswala ya miradi na nertworking katika njanja za maendeleo na ujasiriamali chuoni hapa wanatoa wito kwa chuo kikuu Mzumbe kuitumia fursa hii kufanikisha agenda ya maendeleo huku wakisisitiza kuwa "Mzumbe must market its good reputation"

No comments:

Post a Comment