Tuesday, November 22, 2011

ST John Wafanya Mahafali

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxxkNq50wi80kAU97af45J7jpDpzNLwRWEpsy7xq00U-0RDaX0OGnsgPAHbmntw-LiEJhvy2ZbIUzyOLvFZsbLH9kj2ksLLKHu34J3lJQ5TtBsc0p6OBL0STO2ETQjRUF9r_HzSncmwrYT/s640/IMG_7710.JPG
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na baadhi ya viongozi wa Chuo Kikuu cha
Mtakatifu Yohana (Saint John's University cha Dodoma katika mhafali ya
chuo hicho Novemba 5,2011. Kushoto kwake ni Mkuu wa Kanisa la Anglikan
nchini linalomiliki chuo hicho, Askofu, Dr. Valentino Mokiwa na kulia
kwake ni Mkuu wa Chuo hicho, Askofu Mstaafu, Dr. Donald Mtetemela.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Habari kwa hisani ya Blog ya wanavyuo Tanzania

No comments:

Post a Comment