Monday, November 21, 2011

Mawazo gongana; Zamzam, Frank Mhilu &Lupakisyo Mwambinga


Zamzam anasema..."I appriciate t. Congrats to ministry of informtn, communication and technology. Rais umetendea haki wizara hii."


Lupakisyo Mwambinga anasema..."Huu utaratibu ulioanzishwa sikuhizi Green wa kutenganisha dirisha la watu wa msosi wa buku na dirisha la msosi ambao ni zaid ya buku kwa mtazamo wangu sijaupenda its like ubaguz fulani wa wateja na sisi ni wanafunzi."


Frank Mhilu anasema....ni dhahiri, maji mazito hayabebeki, hata pamba vilevile,...
 najiuliza hizi kelele za ufisadi wa muso mwisho wake lini, au tulete dr toka india, nadhani ifikie mahali tuseme basi inatosha, viongozi lazima tuwajibike, wadau tunapaswa pia kuwajibika

 safari hii hatuna masihara , tutawajibishana tu.

1 comment: