Thursday, August 25, 2011

Mh Temba ; Sauti Ya Upole Hoja Nzito

Kama ulikuwa hufahamu Mh Uswege hajui kuteua mawaziri basi umekosea, nasema hesabu maumivu, je unamfahamu Mh Temba mwone pichani, anasifika kwa kuzungumza kwa sauti ya upole lakini yenye hoja nzito kama sio ujumbe mkubwa.

No comments:

Post a Comment