Monday, December 5, 2011

Nchimbi ala NONDOZ ya PHD Mzumbe University


Waziri wa michezo na habari, Dkr Emmanuel Nchimba (katikati) akiteta jambo na Dkr Lushakuli Saimon kushoto na Dkr Nangawe Abbi kushoto wakati wa mahafali ya 10 ya chuo kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro ambapo Dkr Nchimbi alitunukiwa utafiti wa dhima ya mikopo midogo midogo katika kupunguza umaskini (PHD) wakati Dkr Saimon akitunukiwa utafiti katika ubora wa vituo vya magari ya abiria vya ubungo Dar es Salaam na Msamvu Morogoro huku Dkr Abbi utafiti wa ushirika wa makampuni binafsi katika masoko ya mitaji yanayojitokeza aliofanya masoko ya mitaji Tanzania ambapo jumla watafiti saba walitunukiwa utafiti wa aina mbalimbali (PHD) katika chuo hicho mkoani hapa(Juma Mtanda Blog)

No comments:

Post a Comment