Monday, December 5, 2011

MHAFALI YA 10, CHUO KIKUU MZUMBE

 

Mhitimu wa kozi ya Public Administration in Health Service Management, Enighenja Amiri akipata chakula mara baada ya kutunikiwa cheti chake.
..
Mmoja wa wahitimu akivalishwa taji na mmoja kati ya ndugu zake.
CHUO Kikuu cha Mzumbe, Morogoro jana kiliadhimisha mahafali ya 10 na wahitimu wa kozi tofauti waliweza kutunikiwa vyeti vyao.
 
Sherehe zikiendelea katika garden za chuo hicho.
Picha kwa hisani ya Global Publishers

PICHA ZOTE NA ERICK EVARIST/ GPL

No comments:

Post a Comment